iqna

IQNA

imran khan
TEHRAN (IQNA)- Mwanasiasa wa upinzani Shehbaz Sharif amewasilisha pendekezo la kutaka kuteuliwa kuwa waziri mkuu wa Pakistan baada ya Imran Khan kuuzuliwa na bunge.
Habari ID: 3475108    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/10

TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Pakistani Imran Khan alisema nchi yake daima itabaki kuwa ngome ya Uislamu na mtetezi wa haki na maslahi ya Waislamu duniani kote.
Habari ID: 3475061    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/20

TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Pakistan mran Khan anasema ni muhimu kufanya kazi katika kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu kote ulimwenguni.
Habari ID: 3474974    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/25

TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amempongeza mwenzake wa Canada kutokana na hatua yake ya kulaani chuki dhidi ya Uislamu yaani Islamophobia huku akitaka kuwepo jitihada maalumu za kukabiliana na tatizo hilo.
Habari ID: 3474868    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/30

TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan ameunga mkono msimamo wa Rais Vladimir Putin wa Russia ambaye amepinga wale wanaomvunjia heshima Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3474726    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/26

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amesema, kuna udharura wa kukabiliana na uenezaji chuki dhidi ya Uislamu kieneo na kimataifa.
Habari ID: 3474341    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/25

Waziri Mkuu wa Pakistan
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Pakistan ametoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuunda muungano wa kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia.
Habari ID: 3473203    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/26

Kiongozi Muadhamu katika Mkutano na Waziri Mkuu wa Pakistan
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kwa muda sasa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imewasilisha mpango wa nukta nne wa kumaliza vita nchini Yemen na kuongeza kuwa: "Iwapo vita hivyo vitamalizika ipasavyo, basi jambo hilo linaweza kuwa na taathira chanya katika eneo.
Habari ID: 3472169    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/13

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, uhusiano wa mataifa mawili ya Iran na Pakistan ni wa moyoni uliokita mizizi vyema na kusisitiza kuwa, uhusiano huo unapaswa kuimarishwa kadiri inavyowezekana hata kama maadui wa mataifa haya mawili watachukizwa na hilo
Habari ID: 3471924    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/23

TEHRAN (IQNA) Imran Khan, Mkuu wa chama cha Tehreek-e-Insaf (PTI) cha nchini Pakistan na kilichoshinda uchaguzi wa Bunge la nchi hiyo amesisitiza kuwa chama chache kinataka kustawisha uhusiano mwema na majirani zake ikiwemo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3471609    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/27